Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi nchini Kenya Wafula Chebukati asema watafuatilia madai yaliyotolewa na NASA kupitia kwa mgombea urais wake Raila Odinga kuhusu dosari katika mfumo wa utoaji matokeo.
"Kuna malalamiko mengi kuhusu matokeo yanayoendelea kutangazwa, sisi tume tutayafanya uchunguzi ... Kuna siku 7 za kutangaza matokeo, na leo ni siku ya 2, bado tuna siku 5, kwahiyo kila kitu kitakwenda vizuri"
Amekiri kuwepo kwa tatizo liliukumba mfumo wa kutangazia matokeo lakini akasisitiza kuwa tatizo hilo halina athari yoyote kwenye idadi ya kura,hivyo wameagiza kuletwa kwa fomu namba 34A na 34B kutoka kaunti zote ili kulinganisha matokeo yaliyo kwenye fomu hizo na yale yanayotangazwa huku.
Major change to Universal Credit savings account from tomorrow – see if you
can get £1,200 free cash
-
HUNDREDS of thousands on Universal Credit will benefit from a major change
to a Government savings account from tomorrow.
The DWP is loosening the eligib...
8 minutes ago
No comments:
Post a Comment