Mwanariadha Usain Bolt ambaye ameshiriki mashindano ya dunia jijini London, amehitimisha vibaya mashindano hayo baada ya kukosa ushindi wa kumpa heshima.
Bolt anayetajwa kuwa na kasi kubwa yakukimbia duniani, alitarajiwa kustaafu baada ya mashindano hayo lakini hali imemwendea ndivyo sivyo hata katika mashindano ya kupokezana kijiti kwa timu yake ya Jamaica ambayo amemshindwa kuiwezesha kufanya vyema baada ya kuumia.
Mwenyewe alitumai kwamba angelimaliza maisha yake ya ukimbiaji kwa kushinda dhahabu mbili lakini ameondoka sasa na nishani ya shaba pekee aliyoishinda kwenye mbio za mita 100 juma lililopita.
Revealed by Charles and Camilla's closest friends and family: What really
keeps sparks flying between 'tactile' couple, the thing they clash over...
and truth about Harry's reaction to their wedding, by REBECCA ENGLISH
-
It was one of the most significant speeches of the late Queen Elizabeth's
reign. Its topics included, unusually for a woman so averse to emoting in
public,...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment