Mdau wa soka Shaffih Dauda ametangaza kurejea kugombea nafasi ya ujumbe wa kamati ya utendaji ya TFF baada ya awali kutangaza kujitoa kutokana na kuhusishwa na sakata la rushwa.
Dauda amerejea kwenye kinyang'anyiro hicho baada ya kusafishwa na kamati ya rufaa ya uchaguzi ambayo imemruhusu kuendelea na mchakato, yeye pamoja na wagombea wengine watatu ambao kwa pamoja walikamatwa na kuhojiwa na TAKUKURU kwa tuhuma za rushwa.
Arsenal working on stunning £200m triple transfer with Viktor Gyokeres,
Nico Williams and Martin Zubimendi brought in
-
ARSENAL are working on a dream scenario of signing both Viktor Gyokeres AND
Nico Williams in a blockbuster £200m summer spree.
The club’s number one prio...
12 minutes ago
No comments:
Post a Comment