Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana pamoja na kuzungumza na abiria mbalimbali wakati akisubiri kuvuka kwa kutumia usafiri wa Pantoni kuelekea katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni jijini Dar es Salaam 25 Agosti 2017.
Rais Magufuli amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Paul Makonda kufanyia kazi ombi la wananchi wa eneo hilo la kutaka kujengewa kituo cha Daladala.
Picha/Ikulu, Tanzania
Barcelona set to be BANNED from fielding two stars for the rest of the
season as government get involved
-
BARCELONA stars Dani Olmo and Pau Victor face being booted out of the
club’s squad for the rest of the season – after Spanish league bosses
uncovered an ...
7 minutes ago
No comments:
Post a Comment