Baada ya kukamilisha uhamisho wake wa pauni milioni 198, kutoka Barcelona na kuhamia kwa miamba ya soka ya Ufaransa Paris Saint-Germain, mbrazil Neymar Junior afanya kile kilichotarajiwa na wengi kwenye mechi yake ya nyumbani dhidi ya timu ya Toulouse iliyochezwa kwenye uwanja wa Parc des Princes.
Hadi mwisho wa mchezo miamba hiyo ya soka nchini Ufaransa iliibuka na ushindi wa mabao 6 -2
‘Upset’ Jamie Carragher has to be called into Sky Sports camera shot by
Gary Neville live on TV
-
GARY NEVILLE joked that Jamie Carragher was too ‘upset’ to be on camera
following the news that Trent Alexander-Arnold is nearing an Anfield exit.
Nevill...
10 minutes ago
No comments:
Post a Comment