MATOKEO YA UCHAGUZI KENYA: John Kerry aliyekuwa waziri wa mambo ya nje wa Marekani katika utawala wa Obama amfariji Raila Odinga:
"Najua namna mtu anavyojisikia anapopoteza...Nilipoteza katika uchaguzi wa Marekani na nilikuwa na sababu nyingi za kulalamikia. Lakini unatakiwa kusonga mbele .
Kerry anaongoza ujumbe wa waangalizi wa uchaguzi nchini humo na baada ya upigaji kura.
Matokeo yanaendelea kusubiriwa kwa hamu ikiwa tayari Uhuru Kenyatta akimuacha mpinzani wake kwa mbali.
Who won Dubai World Cup 2025? Full result, finishing order and horse
placing for mega-money race
-
ATTENTION now turns to the Dubai World Cup following the conclusion of the
Grand National.
SunSport brings you how every horse finished in the huge $12m ...
15 minutes ago
No comments:
Post a Comment