LALA SALAMA: Klabu ya Singida United yafanya 'maangamizi' kwa kushusha kifaa hatari kutoka Kaizer Chief ya Afrika Kusini.
Kifaa hicho ni straika wa timu ya Taifa ya Zimbabwe, Michelle Katsavairo ambaye anatajwa kuwa mmoja wa wafungaji wenye shabaha na kasi kubwa dimbani.
Mkali huyo wa kutupia mabao ametua Singida United kwa mkopo mara baada ya makubaliano ya pande mbili kuhusu huduma ya mchezaji huyo.
Loch Ness Monster hunter refuses to sell souvenirs to Americans in protest
at Donald Trump’s trade tariffs
-
*A LOCH Ness Monster hunter is refusing to sell souvenirs to Americans in
protest at Donald Trump’s trade tariffs.*
Steve Feltham funds his full-time sea...
1 minute ago
No comments:
Post a Comment