Comments

tanganyika we speak the truth always

Saturday, 26 August 2017

Alikiba awapagawisha

Msanii Alikiba ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake 'Seduce me' ambao ameuachia jana amevunja rekodi na kuwapagawisha mashabiki katika mtandao wake wa YouTube katika account yake ya 'Vevo' kutokana na wimbo huo kuwa

Friday, 25 August 2017

Sikujua alichokifanya - Fid Q

Rapa Fid Q amefunguka na kuonyesha hisia zake juu ya mambo mbalimbali ambayo yametokea baada ya moja ya msanii wa bongo kufanya 'Remix' ya wimbo wake 'Fresh' na kusema yeye mwenyewe alikuwa hajui kama
MGUFULI ZIARANI KIGAMBONI LEO

MGUFULI ZIARANI KIGAMBONI LEO

Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana pamoja na kuzungumza na abiria mbalimbali wakati akisubiri kuvuka kwa kutumia usafiri wa Pantoni kuelekea katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni jijini Dar es
MAKONDA: BAADHI YA ASKARI WANASHIRIKI KATIKA BIASHARA YA MADAWA YA KULEVYA

MAKONDA: BAADHI YA ASKARI WANASHIRIKI KATIKA BIASHARA YA MADAWA YA KULEVYA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amesema amebaini baadhi ya askari polisi Jijini Dar es salaam wanashiriki biashara ya dawa za kulevya na wengine wanashiriki kuvusha kobe wanaopelekwa nje ya nchi.

Thursday, 24 August 2017

"Nataka wala rushwa wengi wafungwe" - Magufuli

"Nataka wala rushwa wengi wafungwe" - Magufuli

Rais John Pombe Magufuli amefunguka na kusema anataka watu wanaokula rushwa wengi wao wafungwe kwani watu hao wanasababisha watu wakose barabara, madawa na kukosa maendeleo kutokana na watu kula rushwa. Rais John Pombe
Dr. SLAA: KAMPUNI INAYOSHIKILIA BOMBARDIER ILIKWISHATUHUMIWA KWA UZEMBE BUNGENI

Dr. SLAA: KAMPUNI INAYOSHIKILIA BOMBARDIER ILIKWISHATUHUMIWA KWA UZEMBE BUNGENI

Aliyekuwa Mbunge wa Karatu na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbroad Slaa, ameibuka na kudai kwamba kampuni ya ujenzi inayotajwa kuishikilia ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400-Dash 8,
NANI KUCHEZA NA NANI ULAYA?

NANI KUCHEZA NA NANI ULAYA?

Nani kucheza na nani Ulaya? Droo ya Klabu Bingwa Ulaya 2017-18 Uingereza inawakilishwa na timu sita msimu huu. Chelsea, Tottenham, Manchester City, Liverpool, Manchester United na Celtic. Timu hizo zitafahamu zitakutana na nani katika

Diamond akamatwa kwa kusababisha ajali

Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro linamshikilia dereva wa basi lenye namba za usajili T 438 ADR Charles Diamond, kwa kusababisha ajali iliyopoteza uhai wa watu mkoani Morogoro na kusababisha majeraha kwa baadhi ya

Monday, 21 August 2017

Roma aikana CHADEMA

Msanii Roma Mkatoliki ambaye anaimba muziki wa Hip hop kwenye game ya bongo, amekikana chama cha CHADEMA na kusema kuwa hajawahi kuwa mwanachama wa chama hicho kama ambavyo wengi wanaamini, na hajawahi kuwa mwanachama
MCHEZO WA KWANZA PSG: Baada ya kukamilisha uhamisho wake wa pauni milioni 198,

MCHEZO WA KWANZA PSG: Baada ya kukamilisha uhamisho wake wa pauni milioni 198,

 Baada ya kukamilisha uhamisho wake wa pauni milioni 198, kutoka Barcelona na kuhamia kwa miamba ya soka ya Ufaransa Paris Saint-Germain, mbrazil Neymar Junior afanya kile kilichotarajiwa na wengi kwenye mechi yake ya nyumbani
HABARI YA ASUBUHI LEO JUMATATU 21.08.2017 TUMEKUWEKEA VICHWA VYA MAGAZETI YOTE YA LEO HAPA

HABARI YA ASUBUHI LEO JUMATATU 21.08.2017 TUMEKUWEKEA VICHWA VYA MAGAZETI YOTE YA LEO HAPA

http://www.mwananchi.co.tz http://www.mtanzania.co.tz http://www.tanzaniadaima.co.tz http://www.habarileo.co.tz http://www.uhuru.co.tz http://www.nipashe.co.tz http://www.majira.co.tz http://www.tanzanite.co.tz http://www.mwanahalisi.co.tz http://www.dailynews.co.tz http://www.thecitizen.co.tz http://www.theguardian.co.tz http://www.mwanasporti.co.tz http://www.bingwa.co.tz http://www.jangwani.co.tz http://www.championi.co.tz

Sunday, 20 August 2017

Magufuli kuingilia ugomvi wa Kanisa!?

Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Temeke limemuomba Rais Dkt John Pombe Magufuli kuingilia kumaliza mgogoro uliodumu kwa zaidi ya miaka 30 unaohusu umiliki wa kiwanja kilichopo Kitalu D Mtaa wa Everest jirani na
Maelfu ya watu waliandamana mjini Boston, Marekani, kupinga ubaguzi na chuki

Maelfu ya watu waliandamana mjini Boston, Marekani, kupinga ubaguzi na chuki

Maelfu ya watu waliandamana mjini Boston, Marekani, kupinga ubaguzi na chuki, ikiwa ni wiki moja, baada ya maandamano ya Wanazi mamboleo na wanaotukuza utukufu wa watu weupe mbele ya binadamu wengine, yaliyofanyika katika mji
WANACHAMA 1,217 WAPITISHA MABADILIKO KATIKA KLABU YA  SIMBA, MMOJA TU APINGA

WANACHAMA 1,217 WAPITISHA MABADILIKO KATIKA KLABU YA SIMBA, MMOJA TU APINGA

Dar es Salaam. Wanachama wa Simba wamepitisha mfumo wa mabadiliko ya uendeshaji wa klabu hiyo kwenye mkutano mkuu maalumu uliofanyika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo Jumapili. Wanachama hao
WANACHAMA SIMBA SC KUANZA NA ASILIMIA 10 ZA HISA  ZA KLABU

WANACHAMA SIMBA SC KUANZA NA ASILIMIA 10 ZA HISA ZA KLABU

"Wanachama Simba kuanza na asilimia 10 hisa za klabu" Imani Makongoro Dar es Salaam. Mkutano Mkuu wa Mabadiliko ya Uendeshaji ya Klabu umefafanua kwamba bilioni 40 ndiyo mtaji wa hisa kuelekea kwenye mabadiliko ya
ZITO KABWE:Suala la Ndege yetu kuzuiwa Canada lisifanywe ni ushabiki

ZITO KABWE:Suala la Ndege yetu kuzuiwa Canada lisifanywe ni ushabiki

Suala la Ndege yetu kuzuiwa Canada lisifanywe Ni suala la ushabiki Kama ushabiki wa mpira. Ni suala la Nchi hili na mjadala wake uwe na hadhi hiyo. Kitendo cha Msemaji wa Serikali kulaumu

Recent in Sports

3/MICHEZO/post-grid

Recent Post