JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
BUNGE LA TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Mhe. Spika amepokea barua kutoka kwa Mhe. Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Wananchi (CUF] na Mhe.
Magdalena Sakaya, (MB) Kaimu Katibu Mkuu (CUF) ambapo wamemuarifu kuhusu uamuzi wa Baraza Kuu la Chama hicho kuwafukuza
Wabunge wanane (8) na Madiwani wawili kwa makosa kadhaa ya kinidhamu.
Katika barua hiyo, viongozi hao wamewataja wanachama hao ambao ni Wabunge kuwa ni:-
1. Mhe. Severina Silvanus Mwijage, (MB):
2. Mhe. Saumu Heri Sakala. (MB):
3. Mhe. Salma Mohamed Mwassa, (MB):
4. Mhe. Riziki Shahari Ngwali, (MB):
5. Mhe. Raisa Abdallah Mussa, (MB):
6. Mhe. Miza Bakari Haj, (MB):
7. Mhe. Hadja Salum Ally A-Q
8. Mhe. Halima Alil Mohamed, (M8).
Frail Val Kilmer's sweet gesture to his daughter during final public
appearance before shock death at 65
-
Val Kilmer maintained a close relationship with his two children, Mercedes
and Jack, who he shared with his ex-wife Joanne Whalley, before his shock
death ...
10 minutes ago
No comments:
Post a Comment