Comments

tanganyika we speak the truth always

Friday, 30 June 2017

KAMA WATANZANIA HAWAJAONGEA KUHUSU VIONGOZI WAO WA KIDINI, NANI ATAONGEA..?Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Freeman Mbowe, amesema 'Hoja ya Masheikh kukaa miaka mingi bila ya kufikishwa Mahakamani, Serikali isituzibe midomo'. alisema hayo katika clip fupi alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari mfupi uliopita.

KAMA WATANZANIA HAWAJAONGEA KUHUSU VIONGOZI WAO WA KIDINI, NANI ATAONGEA..?Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Freeman Mbowe, amesema 'Hoja ya Masheikh kukaa miaka mingi bila ya kufikishwa Mahakamani, Serikali isituzibe midomo'. alisema hayo katika clip fupi alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari mfupi uliopita.

https://youtu.be/8zYzyRJG6xo
MAKAMU MKUU WA SHULE YA SEKONDARI AKUTWA AKIFANYA MAPENZI NA MWANAFUNZI DARASANI

MAKAMU MKUU WA SHULE YA SEKONDARI AKUTWA AKIFANYA MAPENZI NA MWANAFUNZI DARASANI

​ Mkuu wa Wilaya ya Wanging'ombe, Mkoani Njombe, Ally Kasinge ameagiza kushikiliwa kwa Makamu Mkuu wa shule ya sekondari Wanike, iliyopo katika wilaya hiyo baada ya kukamatwa akifanya mapenzi na mwanafunzi wake darasani
TCRA yataka makampuni ya simu kusitisha matangazo yanayowekwa kabla ya miito ya simu

TCRA yataka makampuni ya simu kusitisha matangazo yanayowekwa kabla ya miito ya simu

Mamlaka ya udhibiti wa mawasiliano nchini-TCRA- imeyataka makampuni ya simu kusitisha matangazo ya biashara yanayowekwa kabla ya miito ya simu ili kuwawezesha watumiaji wa simu kupata huduma ya mawasiliano kwa haraka zaidi. Akizungumza
Kibiti: Polisi yaua watu wanne(4) wanaodhaniwa kujihusisha na mauaji wilayani humo

Kibiti: Polisi yaua watu wanne(4) wanaodhaniwa kujihusisha na mauaji wilayani humo

Jeshi la Polisi nchini limefanikiwa kuwaua wahalifu wanne wanaosadikiwa kuwa miongoni mwa wahalifu wanaoendesha mauaji katika wilaya za Mkuranga, Kibiti na Rufiji katika mapambano yaliyodumu kwa zaidi ya nusu saa katika kijiji cha
Wawekezaji Tanzania washtushwa na hatua ya Magufuli

Wawekezaji Tanzania washtushwa na hatua ya Magufuli

Miswada mitatu itayokayo walazimisha makampuni yanayochimba madini na nishati nchini Tanzania kurekebisha mikataba yao ni hatua ambayo imewashtua wawekezaji wa kigeni. Miswada mitatu Miswada mitatu iliwasilishwa na serikali ya Tanzania kwenye Bunge Alhamisi

Thursday, 29 June 2017

RONALDO APATA WATOTO MAPACHA

RONALDO APATA WATOTO MAPACHA

Mchezaji wa realmadrid na timu ya taifa ya ureno Christian Ronaldo kapata watoto mapacha amekuwa akipata pongezi nyingi kutoka kwa mashabiki wake kwenye mitandao ya kijamii kama Facebook na Instagram baada ya kuweka
MALINZI NA KATIBU MKUU WA TFF WASOMEWA MASHITAKA 28

MALINZI NA KATIBU MKUU WA TFF WASOMEWA MASHITAKA 28

UPDATE: Malinzi, Mwesigwa na Nsiana wamesomewa mashtaka 28 Kughushi waraka wa kamati ya utendaji ulioonyesha kuwa EXCOM imeridhia kubadilishwa kwa Signatories wa Bank hii inamhusu Malinzi na Mwesigwa pia. Kufoji risiti za kuwa
DIWANI WA CHADEMA AJIUZULU KISA ATAKANGAZA KUMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI

DIWANI WA CHADEMA AJIUZULU KISA ATAKANGAZA KUMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI

ARUSHA: Diwani wa Muriet(CHADEMA) Credo Kifukwe ajiuzulu na kutangaza kumuunga mkono Rais Magufuli. - Katika maelezo yake amesema "Ninajiuzulu nafasi yangu ili niweze kumuunga mkono Rais Magufuli katika utendaji wake, dhamira inanisuta kuwa
Wabunge wanawake watengewa chumba maalum cha kunyonyeshea Bungeni

Wabunge wanawake watengewa chumba maalum cha kunyonyeshea Bungeni

Bunge limetenga chumba maalum kwa ajili ya wabunge wenye watoto wachanga kunyonyesha watoto wao wakati vipindi vya bunge vinaendelea. Uamuzi huo umetangazwa leo (Jumatano) bungeni na Naibu Spika Dk Tulia Ackson mara baada
Amir wa Dubai asaidia kuwanunulia kanisa wanakijiji

Amir wa Dubai asaidia kuwanunulia kanisa wanakijiji

Amir wa Dubai Sheikh Mohammed Bin Rashid Al Maktoum amesaidia kijiji kimoja kidogo kulinunua kanisa dogo la Methodist nchini Uingereza. Wakaazi wa eneo la Godolphin karibu na Helston walimtumia ujumbe kwa lengo la

Wednesday, 28 June 2017

MWENYEKITI WA KIJIJI NA AFISA MTENDAJI WA KIJIJI WA CCM WAUWAWA KIBITI

MWENYEKITI WA KIJIJI NA AFISA MTENDAJI WA KIJIJI WA CCM WAUWAWA KIBITI

Mwenyekiti wa kijiji cha Mangwi kata ya Mchukwi wilayani Kibiti mkoani Pwani Bw. Hamisi Bakari Mkima na Afisa Mtendaji wa kijiji hicho Bw. Shamte Rashid Makalaa wa CCM wamefariki dunia baada ya kupigwa
Bunge lashindwa kutoa adhabu kwa Nassari

Bunge lashindwa kutoa adhabu kwa Nassari

Kamati ya Bunge ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge imelibebesha Bunge mzigo kuhusu shauri la Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari la kuidharau Mamlaka ya Spika na Bunge baada ya kutopendekeza
TUKUKURU INAWASHIKILIA RAIS WA TFF JAMAL MALINZI NA KATIBU MKUU, CELESTINE MWASIGWA

TUKUKURU INAWASHIKILIA RAIS WA TFF JAMAL MALINZI NA KATIBU MKUU, CELESTINE MWASIGWA

DAR:Rais wa TFF Jamal Malinzi na karibu wake Celestine Mwasingwa waojiwa na polisi. Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali zinaeleza kwamba Rais wa shirikisho la soka nchini TFF Jamal Malinzi na katibu mkuu wake Celestine

Monday, 26 June 2017

LOWASSA ATAKIWA OFISI YA UPELELEZI, CHADEMA KUMSINDIKIZA

LOWASSA ATAKIWA OFISI YA UPELELEZI, CHADEMA KUMSINDIKIZA

KADA wa Chadema na aliyepata kuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa ametakiwa kuripoti ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) nchini siku ya kesho saa nne asubuhi. Lowassa ambaye anahusishwa na tuhuma za
AFRIKA KUSINI:Wakulima wawili watafikishwa mahakamani, tuhuma za kumuingiza ndani ya jeneza raia mweusi akiwa hai

AFRIKA KUSINI:Wakulima wawili watafikishwa mahakamani, tuhuma za kumuingiza ndani ya jeneza raia mweusi akiwa hai

Wakulima wawili weupe watafikishwa mahakamani nchini Afrika Kusini , baada ya kutuhumiwa kuwa walimsukuma mtu mmoja mweusi na kumuingiza ndani ya jeneza, huku wakitishia kumwagia mafuta ya petroli na kumteketeza moto, akiwa hai. ​
Rais wa Urusi Vladimir Putin anyeshewa na Mvua Wakati wa Sherehe ya Umma

Rais wa Urusi Vladimir Putin anyeshewa na Mvua Wakati wa Sherehe ya Umma

Rais wa Urusi Vladimir Putin aliingia ndani ya Moscow wakati wa sherehe ya kukumbuka uvamizi wa Nazi wa Urusi wakati wa Vita Kuu ya Pili. Rais alisimama peke yake katika mvua ya joto
MBUNGE MNYIKA ALIVYOTOLEWA NA POLISI BUNGENI

MBUNGE MNYIKA ALIVYOTOLEWA NA POLISI BUNGENI

Recent in Sports

3/MICHEZO/post-grid

Recent Post